• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Tarime Town Council
Tarime Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mkoa na Serikali za Mtaa Halmashauri ya Mji wa Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Chimbuko / Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Raslimali Watu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Usimamamizi wa Taka na Usafi na Mazingira
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha Michezo Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Bomani
      • Kata ya Kenyamanyori
      • Ketare
      • Nkende
      • Nyamisangura
      • Nyandoto
      • Sabasaba
      • Turwa
    • Wajumbe wa Kamati
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Repoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

URAMBO DC YAFANYA ZIARA YA MAFUNZO TARIME MJI

Posted on: September 7th, 2024

Halmashauri ya Wilaya ya Urambo Mkoani Tabora imefanya ziara katika Halmashauri ya Mji Tarime lengo ikiwa ni kujifunza namna ya uanzishilishi na usimamizi wa miradi mbalimbali ya maendeleo pamoja na ukusanyaji wa mapato katika Halmashauri

Akizungumza baada ya mapokezi katika ukumbi wa Halmashauri Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt Khamis Mkanachi amesema lengo la ziara hiyo ni kujifunza mambo mbalimbali ambayo yanatekelezwa katika Halmashauri ya Mji Tarime hususani ukusanyaji wa mapato, na uanzilishwi wa miradi mbalimbali ya kuongeza mapato ya Halmashauri 

"Lengo letu ni kujifunza namna ya kuendelea kuongeza mapato ya Halmashauri yetu, nyinyi Tarime Mji mmeweza na ni matumaini yangu pamoja na msafara huu tutajifunza mengi kutoka kwenu ili tukaendelee kuboresha kwenu" amesema Khamis

Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya ya Tarime Mhe. Meja Edward Flowin Gowele amewapongeza kwakuitembelea Tarime kuja kujifunza na amewahakikishia watawapa ushirikiano wa kutosha kwa kila eneo ambalo watataka kujifunza katika Halmashauri ya Mji Tarime

"Hongereni kwa maamuzi mazuri ya kuja kujifunza kwetu sisi hili ni baraka sana kwetu, Tarime ni salama sana na tutawapa ushirikiano wote ili mfanikishe kile ambacho mlikikusudia kufika katika Halmashauri yetu ya Mji Tarime'' amesema Gowele

Ziara hiyo imefanyika leo Septemba 7, ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Urambo Mhe. Dkt Khamis Mkanachi, Katibu Tawala wa Wilaya ya Urambo Ndugu Innocent Nsena, Mwneyekiti wa Halmashauri hiyo Mhe. Adam Malunkwi, Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo Ndugu Grace Quintine, Madiwani pamoja na watumishi wa Halmashauri hiyo

Matangazo

  • TANGAZO LA UPANGISHAJI WA MAENEO YA BIASHARA KATIKA SOKO KUU LA HALMASHAURI YA MJI TARIME May 23, 2025
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • MADIWANI TARIME MJI WAMONGEZA RAIS SAMIA

    May 30, 2025
  • SOYA ONE LIMITED YACHANGIA GUNIA 20 ZA MAHINDI KWA SHULE ZA MSINGI TARIME MJI

    May 20, 2025
  • WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI MAFUNZO YA UOMBAJI WA VIBADANDA SOKO KUU TARIME

    May 15, 2025
  • MADIWANI WARIDHISHWA NA MAENDELEO YA UJENZI WA MIRADI MBALIMBALI TARIME MJI

    May 15, 2025
  • Angalia yote

Picha ya Mwendo

DAS TARIME AITAKA TARIME TC KUSIMAMIA USAFI
Picha za video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za Haraka
  • Hati ya Mshahara (Watumishi Portal)

Viunganishi Linganifu

  • OR- TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
  • Wizara ya Nishati na Madini.
  • Tovuti ya Mkoa wa Mara
  • Tovuti Rasmi ya Rais

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HRO JOSEPH HAYMO

    Anuani ya Posta: 45, Tarime

    Simu: 0784635368

    Simu ya Mkononi: 0784635368

    Barua Pepe: utawala@tarimetc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©Tarime Town Council . All rights reserved.