• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa mara |
    • Baruapepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Tarime Town Council
Tarime Town Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mkoa na Serikali za Mtaa Halmashauri ya Mji wa Tarime

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
      • Chimbuko / Asili
      • Ukubwa wa Eneo
      • Watu wa eneo husika
      • Hali ya hewa
      • Shughuli za Kiuchumi
      • Orodha ya Viongozi
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Elimu ya Awali na Msingi
      • Idara ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara ya Miundombinu, Vijijini na Mijini
      • Idara ya Utawala na Usimamizi wa Raslimali Watu
      • Idara ya Mipango na Uratibu
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii
      • Idara ya viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Kitengo cha Usimamamizi wa Taka na Usafi na Mazingira
      • Kitengo cha Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Kitengo cha Michezo Utamaduni na Sanaa
      • Kitengo cha Fedha na Uhasibu
      • Kitengo cha Huduma za Sheria
      • Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
      • Kitengo cha Usimamizi wa Ununuzi
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa madiwani
      • Kuonana na mwenyekiti
    • Kata
      • Kata ya Bomani
      • Kata ya Kenyamanyori
      • Ketare
      • Nkende
      • Nyamisangura
      • Nyandoto
      • Sabasaba
      • Turwa
    • Wajumbe wa Kamati
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Repoti mbalimbali
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa umma
    • Video za shughuli za ofisi au kitaifa
    • Hotuba za viongozi mbalimbali
    • Maktaba ya picha

TD GIMBANA AWAHIMIZA WAZAZI/WALEZI KUSHIRIKI KAMPENI YA AFYA NA LISHE KWA WATOTO"

Posted on: December 2nd, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Tarime Bi. Gimbana Ntavyo amewahimiza wazazi na walezi kuwapeleka watoto katika Vituo vya kutolea Huduma ya Afya kupata huduma ya matone Vitamin A, Dawa za minyoo na upimaji wa hali ya lishe kuanzia miezi 6 hadi miezi 59 kuanzia tarehe 01/12/2025 hadi tarehe 31/12/2025

Hayo ameyasema leo akiwa Ofisini kwake ambapo amewasisitiza kutumia fursa hiyo ili kuendelea kuimarisha Afya kwa watoto wao.  

"Ninawaomba wazazi na walezi wote kujitokeza kwa wingi katika vituo vyetu vya Afya ili kuboresha afya za watoto wetu afya njema inaanza na uchaguzi mzuri wa lishe kupitia elimu ya lishe itakayotolewa na wataalamu wetu tuunge mkono kampeni hii kwa vitendo".Amesema  Bi.Ntavyo.

 Aidha, amewataka watumishi wote wanaotoa huduma hiyo katika vituo vyote vya Afya kutoa ushirikiano na huduma bora ili zoezi liende vizuri.

"Mafanikio ya kampeni ya Afya na Lishe kwa watoto yanategemea umoja, kujitolea, na ushirikiano wa wahudumu wa afya kwa maslahi ya jamii fanyeni kazi kwa umoja ili kufanikisha kampeni hii” Amesema Bi,Ntavyo.

Kampeni hii hufanyika kila mwaka kuanzia tarehe 1 Mwezi 12 hadi tarehe 31 Mwezi 12 na mwaka huu imebeba kauli mbiu ya "mlinde mtoto wako leo, kwa Afya Bora Kesho".




Matangazo

  • TANGAZO KUHUSU MAOMBI YA MKOPO UNAOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU September 30, 2025
  • TANGAZO LA VIWANGO VIPYA VYA ADA YA TAKA KUANZIA MWEZI JANUARI MWAKA 2026 HALMASHAURI YA MJI TARIME December 30, 2025
  • TANGAZO LA UANDIKISHAJI WA VIJANA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA January 22, 2026
  • Angalia yote

Habari Mpya

  • TARIME MJI YAENDESHA ZOEZI LA UHAKIKI, USAJILI NA UGAWAJI WA VITAMBULISHO VYA BIMA YA AFYA KWA WOTE KWA TASAF AWAMU YA KWANZA.

    February 14, 2026
  • VIKUNDI VYA MAENDELEO TARIME MJI VYAPIGWA MSASA

    February 06, 2026
  • MADIWANI TARIME MJI WAPITISHA BAJETI YA BIL 37.9 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 04, 2026
  • "UVAMIZI WA ARDHI NI KOSA NA NI KITU AMBACHO HAKIKUBALIKI KISHERIA " DC GOWELE

    January 27, 2026
  • Angalia yote

Picha ya Mwendo

MAELEKEZO YA DC KWA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA NGAZI YA MITAA TARIME MJI
Picha za video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Takwimu za Haraka
  • Hati ya Mshahara (Watumishi Portal)
  • Instagram account

Viunganishi Linganifu

  • OR- TAMISEMI
  • TOVUTI KUU YA SERIKALI
  • Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi
  • Wizara ya Nishati na Madini.
  • Tovuti ya Mkoa wa Mara
  • Tovuti Rasmi ya Rais

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    HRO JOSEPH HAYMO

    Anuani ya Posta: 45, Tarime

    Simu: 0784635368

    Simu ya Mkononi: 0784635368

    Barua Pepe: utawala@tarimetc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©Tarime Town Council . All rights reserved.